RAIS Samia Suluhu Hassan amepokea tuzo ya heshima ya ‘The Gates Goalkeepers Award’ kutambua juhudi zake za kupunguza vifo vya mama na mtoto kwa asilimia 80, kuboresha upatikanaji huduma za afya na kuk ...
RAIS Samia Suluhu Hassan, amewataka majaji na mahakimu nchini, kuacha kuwa miungu watu katika utoaji wa hukumu na kuwataka watende haki kwa misingi ya sheria na Katiba ya nchi. Pia, amewasihi wakati h ...
Wadau wa elimu nchini Tanzania wameipongeza Serikali kwa kuandaa Sera ya Elimu ya mwaka 2014 Toleo la mwaka 2023 wakieleza ...
Tangu ameingia madarakani, tuzo mbalimbali zimemiminika kwa Rais Samia kwenye sekta za utalii, miundombinu, utawala bora na ...
Siku zote ametamani kuona Afrika na mabara mengine yanaungana kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kupitia matumizi ya ...
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha inajiimarisha katika kukuza uchumi wake kwa kutumia rasilimali ...
Tuzo ya Gates Goalkeeper imeasisiwa na Taasisi ya Bill and Mellinda Gate mwaka 2017 ikilenga kuchochea na kuonyesha juhudi za ...
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais Samia Suluhu Hassan amesema CCM inatimiza miaka 48 ikiwa imara, chama ...
Tuzo hiyo hutolewa kwa viongozi waliowezesha nchi zao kuharakisha maendeleo kuelekea kufikia malengo ya maendeleo endelevu.
Jeshi la Uganda UPDF limesema wanajeshi wake walioko Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, watatafuta mbinu ya kujiimarisha kiulinzi ili kuyazuwia makundi mengine ya waasi kuingia mashariki ...
Serikali ya Rwanda inashutumu muungano wa vikosi vya kimataifa vinavyopigana mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ...
Nyuma yo gushyiraho guverineri w'intara ya Kivu ya Ruguru - aho igenzura - M23 yashyizeho n'abakuru b'amakomine i Goma no muri Lubero.