Rais Dk Samia Suluhu Hassan. SIMANZI, majonzi na vilio vimetanda kuanzia usiku wa jana Januari 13,2025, kwenye kata ya Segera, wilaya ya Handeni mkoani Tanga, kufuatia vifo vya watu 11 na majeruhi 13, ...
RAIS Samia Suluhu Hassan, ameeleza kukerwa na matokeo mabaya ya elimu kwa wanafunzi wa shule za Zanzibar kwa madaraja ya sifuri na la nne na kusema hataki tena kuona hali hiyo ikiendelea. Akizungumza ...
Serikali ya Rwanda inashutumu muungano wa vikosi vya kimataifa vinavyopigana mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ...
IMANI potofu kwa wakazi walio wengi wa halmashauri ya wilaya ya Bukombe mkoani Geita juu ya suala la wosia imetajwa kuwa ...
RAIS Samia Suluhu Hassan ametaja changamoto tatu katika majengo kwenye eneo la Kariakoo mkoani Dae es Salaam. Ametaja ...
Wakati Soko la Kimataifa la Kariakoo jijini Dar es Salaam likitarajia kuanza tena kutoa huduma, Rais Samia Suluhu Hassan amesema moto ulioliteketeza, ulikuwa ni kupoteza ushahidi kutokana ...
Utenguzi wa Mtahengerwa, unakuja miezi michache baada ya ugomvi wa mara kwa mara na Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo kwa ...
Katibu Mkuu wa CCM Emmanuel Nchimbi ameteuliwa kuwa mgombea mwenza wa Samia Suluhu Hassan. "Hatuna wagombea mbadala kwa mwaka 2025," iliandikwa kwenye mabango. "Tumetimiza mengi katika miaka minne ...
Polisi wa jiji waliambia BBC Marathi kwamba mwigizaji huyo alijeruhiwa baada ya ugomvi kuzuka kati yake na mtu asiyejulikana ambaye aliingia nyumbani kwake muda wa saa sita usiku. Polisi wameunda ...
Tanasha na Diamond walioshirikiana katika wimbo, Gere (2020), walikuwa na uhusiano tangu 2018 ila waliachana rasmi Machi 2020 kutokana na kile kinachotajwa ni migogoro ya kifamilia iliyokosa suluhu ..
“Sijawahi kutofautiana na mchezaji yeyote kama inavyoelezwa mitandaoni, ila ugomvi wa kawaida kazini kwa kila mtu upo.” Israel ambaye msimu uliopita alikuwa akiichezea Simba lakini mwanzoni mwa msimu ...
DAR ES SALAAM: President Samia Suluhu Hassan has made significant leadership appointments, naming an Executive Secretary and reappointing several board chairpersons to spearhead development in key ...