Mpinzani mkubwa wa Chapo ni Venâncio Mondlane. Wiki iliyopita, alirejea kutoka uhamishoni alikoenda mwenyewe. Alitumia muda mwingi kuwa nchini Afrika Kusini ambako anasema alinusurika katika ...
Hii ni baada ya taarifa iliyotolewa na shirika la kutetea haki za binadamu, Amnesty International nchini Kenya kabla ya yeye mwenyewe kuchapisha ujumbe kwenye akaunti yake ya X. Maria alihakikisha ...
Shinyanga. Kikao cha kamati tendaji ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kilichofanyika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga jana Jumatano Januari 8, 2025 kimefikia uamuzi wa kumvua uongozi ...
Dar es Salaam. Chama cha Wananchi (CUF), kimemfuta uanachama mbunge wake wa Mtambile visiwani Pemba, Seif Salim Seif kwa kile kilichodaiwa amekisaliti chama hicho na kukiunga mkono chama tawala cha ...
"Wanasema Mwenda hawezi kucheza kwa sababu tunadaiwa, wakati anatakiwa apambane mwenyewe kuwania nafasi kwani eneo analocheza amekuta watu wanapiga kweli kweli, atacheza, lakini ni mpaka apambane," ...
Trans Nzoia governor George Natembeya has critiqued the practicality and implementation of the Competence Based Curriculum (CBC), calling it confusing and ineffective He condemned the lack of clarity ...