Mama Samia Suluhu Hassan ni rais wa sita wa Tanzania ambaye ameingia madarakani Machi 2021 baada ya kifo cha mtangulizi wake John Pombe Magufuli. Alikuwa Makamu wa Rais toka mwaka 2015.
Wakati Soko la Kimataifa la Kariakoo jijini Dar es Salaam likitarajia kuanza tena kutoa huduma, Rais Samia Suluhu Hassan amesema moto ulioliteketeza, ulikuwa ni kupoteza ushahidi kutokana ...
RAIS Samia Suluhu Hassan ametaja changamoto tatu katika majengo kwenye eneo la Kariakoo mkoani Dae es Salaam. Ametaja ...
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo amefanya mabadiliko ya Wakuu wa mikoa, huku wengi wao wakihamishiwa katika mikoa mipya na wengine wakistaafu utumishi wa umma. Taarifa ya uteuzi wa wakuu ...
Katibu Mkuu wa CCM Emmanuel Nchimbi ameteuliwa kuwa mgombea mwenza wa Samia Suluhu Hassan. "Hatuna wagombea mbadala kwa mwaka 2025," iliandikwa kwenye mabango. "Tumetimiza mengi katika miaka minne ...
In this latest Royal Tour, Peter Greenberg travels through Tanzania with the country’s President Samia Suluhu Hassan. For an entire week, the President became the ultimate guide, relating ...
Known for his dynamic online presence while mingling with top celebrities and politicians alike, Cassypool has launched a campaign dubbed “Marafiki Wa Mama Samia Suluhu in Kenya” to champion ...
Tanzania's ruling party on Sunday nominated President Samia Suluhu Hassan as its candidate in general elections due in October in the east African country. Hassan took office in 2021 after the ...